Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwasha Mwenge wa Uhuru wakati wa uzinduzi wa mbio za Mwenge kwa mwaka 2022, hafla iliofanyika katika uwanja wa sabasaba uliopo mkoani Njombe leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwasha Mwenge wa Uhuru wakati wa uzinduzi wa mbio za Mwenge kwa mwaka 2022, hafla iliofanyika katika uwanja wa sabasaba uliopo mkoani Njombe leo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimkabidhi Mwenge wa Uhuru kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa kwa mwaka 2022, Tahili Nyandabara mara baada ya kuuwasha na kuzindua mbio hizo,hafla iliofanyika katika uwanja wa Sabasaba Mkoani Njombe leo tarehe 2 Aprili 2022.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 2 April 2022 akiwasili katika
uwanja wa Sabasaba uliopo Mkoani Njombe
kwaajili ya kuzindua mbio za Mwenge kwa mwaka 2022.
No comments:
Post a Comment