Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam wakati akielekea nchini Marekani kwa ziara ya kikazi.
TUZO ZA WAKUU NA WATENDAJI WA MAKAMPUNI 100 BORA ZINALENGA KUVUTIA
UWEKEZAJI NA KUKUZA UCHUMI WA TANZANIA
-
Waziri wa Kazi na Uwekezaji Zanzibar, Shariff Ali Shariff (katikati),
amesema tuzo za Wakuu na Watendaji wa Makampuni 100 Bora zimelenga kuvutia
Uwekezaj...
26 minutes ago

.jpg)
No comments:
Post a Comment