Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam wakati akielekea nchini Marekani kwa ziara ya kikazi.
Emirates kuongeza safari za ndege kutoka tano kwa wiki hadi kila siku
-
EMIRATES itaongeza safari za ndege zinazotoka Dar es Salaam, kutoka safari
tano kwa wiki hadi za kila siku kuanzia Mei Mosi, mwaka huu. Watanzania
sasa ...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment