Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam wakati akielekea nchini Marekani kwa ziara ya kikazi.
WAZIRI LUKUVI NA VIONGOZI WENGINE KWENYE MAANDALIZI YA MISA YA KUAGA MWILI
WA HAYATI DAVID MSUYA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Wiliam
Lukuvi pamoja na viongozi mbalimbali katika maandalizi ya kushiriki ibada
ya kumuo...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment