Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo (kulia)akimsikiliza Katibu Mkuu wa Chama cha CNDD-FDD cha Burundi Mhe. Ndikuriyo Reverien mara baada ya kumaliza ziara ya kuitembelea Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, wengine pichani ni Balozi wa Burundi Nchini Tanzania Mhe. Gervas Abayeho na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga (kushoto).Katibu Mkuu wa Chama Cha CNDD-FDD cha Burundi Mhe. Ndikuriyo Reverien pamoja na ujumbe wake wakiongozwa na mwenyeji wake, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo leo tarehe 18, Mei 2022 wametembelea Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere iliyopo Kibaha mkoani Pwani.
WAZIRI LUKUVI NA VIONGOZI WENGINE KWENYE MAANDALIZI YA MISA YA KUAGA MWILI
WA HAYATI DAVID MSUYA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Wiliam
Lukuvi pamoja na viongozi mbalimbali katika maandalizi ya kushiriki ibada
ya kumuo...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment