Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo (kulia)akimsikiliza Katibu Mkuu wa Chama cha CNDD-FDD cha Burundi Mhe. Ndikuriyo Reverien mara baada ya kumaliza ziara ya kuitembelea Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, wengine pichani ni Balozi wa Burundi Nchini Tanzania Mhe. Gervas Abayeho na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga (kushoto).Katibu Mkuu wa Chama Cha CNDD-FDD cha Burundi Mhe. Ndikuriyo Reverien pamoja na ujumbe wake wakiongozwa na mwenyeji wake, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo leo tarehe 18, Mei 2022 wametembelea Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere iliyopo Kibaha mkoani Pwani.
DC LUDEWA AFANYA KISOMO KUMWOMBEA RAIS DKT. SAMIA
-
Na. Damian Kunambi, Njombe
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva akiambatana na Mkurugenzi wa
Halamashauri, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamo...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment