Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya
Madola Mheshimiwa Patricia Scotland mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino
mkoani Dodoma leo tarehe 6 Mei 2022.
Katibu Mkuu wa
Jumuiya ya Madola Mheshimiwa Patricia Scotland akimkabidhi Makamu wa Rais
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango jarida maalum la Jumuiya ya Madola mara baada ya
kumalizika kwa mazungumzo yaliofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwa katika
picha ya pamoja na na ujumbe kutoka Jumuiya ya Madola ukiongozwa na Katibu Mkuu
wa Jumuiya hiyo Mheshimiwa Patricia Scotland mara baada ya kumalizika kwa
mazungumzo yaliofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwa katika
picha ya pamoja na na ujumbe kutoka Jumuiya ya Madola ukiongozwa na Katibu Mkuu
wa Jumuiya hiyo Mheshimiwa Patricia Scotland mara baada ya kumalizika kwa
mazungumzo yaliofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiagana na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola Mheshimiwa Patricia Scotland mara baada kumalizika kwa mazungumzo baina yao yaliofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 6 Mei 2022.
No comments:
Post a Comment