Khalifa wa Al Imam Ali Alhabshi na Mkuu wa Chuo cha Kwanza Hadharmout cha Yemen akiongiza dua wakati wa uzinduzi wa Msikiti Mkuranga iliyofanyika leo 28-5-2022 katika hafla iliyohudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais Mstaafu wa Tanzania Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mufti Mkuu wa Tanzania Alhaj Dkt Abubakar Zubeit bin Ally, wakiitikia dua baada ya kufunguliwa kwa msikiti huo
MGODI WA BARRICK BULYANHULU WADHAMINI MAHUSIANO SPORTS BONANZA
-
Meneja Mkuu wa mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Johan Labuschagne akicheza
mpira wakati wa ufunguzi wa Mahusiano Sports Bonanza
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment