Khalifa wa Al Imam Ali Alhabshi na Mkuu wa Chuo cha Kwanza Hadharmout cha Yemen akiongiza dua wakati wa uzinduzi wa Msikiti Mkuranga iliyofanyika leo 28-5-2022 katika hafla iliyohudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais Mstaafu wa Tanzania Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mufti Mkuu wa Tanzania Alhaj Dkt Abubakar Zubeit bin Ally, wakiitikia dua baada ya kufunguliwa kwa msikiti huo
POSITIVE COOKER WACHOCHEA MATUMIZI YA MAJIKO JANJA YANAYOTUMIA UMEME KUPIKIA
-
*Na.Mwandishi Wetu*
*KAMPUNI ya Positive Cooker imeunga mkono juhudi za Serikali za kuondoa
matumizi ya nishati chafu ya kupikia kwa kuendesha kampeni...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment