Khalifa wa Al Imam Ali Alhabshi na Mkuu wa Chuo cha Kwanza Hadharmout cha Yemen akiongiza dua wakati wa uzinduzi wa Msikiti Mkuranga iliyofanyika leo 28-5-2022 katika hafla iliyohudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais Mstaafu wa Tanzania Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mufti Mkuu wa Tanzania Alhaj Dkt Abubakar Zubeit bin Ally, wakiitikia dua baada ya kufunguliwa kwa msikiti huo
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment