Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata malezo kutoka kwa Mkuu wa Shule ya Seondari Mandarawe, Mwalimu Ladia Juma (kushoto) kuhusu ujenzi wa Shule hiyo wilyani Ruangwa. Juni 3, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
VIKUNDI 49 VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI MBULU MJI KUPATA MIKOPO YA MILIONI 168
-
Na Mwandishi wetu, Mbulu
VIKUNDI 49 vya wanawake wajasiriamali waliopo kwenye Halmashauri ya Mji wa
Mbulu Mkoani Manyara, wanatarajia kupatiwa mikopo ya S...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment