RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo ya michoro ya ramani ya
ujenzi wa Mradi wa Kisasa wa Michezo “Zanzibar International Cricket Club and
Sports Complex” kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa ZIPA Bw. Shariff Ali
Shariff,(kushoto kwa Rais) utakaojengwa katika eneo la Fumba Wilaya ya
Magharibi “B” Unguja,wakati wa Uzinduzi wa Mradi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiangalia na kupata maelezo ya eneo
litakalojengwa Mradi wa Kisasa wa Michezo “Zanzibar International Criket Club
and Sports Complex” kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa ZIPA Bw, Shariff Ali
Shariff, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mradi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi
katika eneo la ujenzi huo Fumba Wilaya ya Magharibi “B” Unguja uliofanyika leo
3-6-2022RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza wa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya
JHIL Enterprises ya India Bw.Jilesh Hitmat Babla,(kushoto kwa Rais) akitowa maelezo ya ramani ya michoro ya
ujenzi wa Uwanja wa Criket wa Kisasa katika eneo la Fumba Wilaya ya Magharibi
“B” Unguja, wakati uzinduzi wa Mradi huo na Uwekaji wa Jiwe la Msingi na (kulia
kwa Rais) Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni Sanaa na Michezo Zanzibar Mhe.
Tabia Maulid Mwita
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akindoa pazia kuweka Jiwe la Msingi la
Uzinduzi wa Mradi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Mradi wa Kisasa wa
Michezo “Zanzibar International Criket Club and Sports Complex” Fumba Zanzibar ,
akiwa na Mwakilishi wa Kampuni ya JHIL
Enterprises kutoka India Bw. Sunil Manohar Gavaskar, wakati wa hafla hiyo ya
uzinduzi iliyofanyika katika eneo la ujenzi wa mradi huo Fumba Wilaya ya
Magharibi”B” Unguja leo 3-6-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akindoa pazia kuweka Jiwe la Msingi la
Uzinduzi wa Mradi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Mradi wa Kisasa wa
Michezo “Zanzibar International Criket Club and Sports Complex” Fumba Zanzibar ,
akiwa na Mwakilishi wa Kampuni ya JHIL
Enterprises kutoka India Bw. Sunil Manohar Gavaskar, wakati wa hafla hiyo ya
uzinduzi iliyofanyika katika eneo la ujenzi wa mradi huo Fumba Wilaya ya
Magharibi”B” Unguja leo 3-6-2022.
BAADHI ya Wawekezaji wa Mradi wa “Zanzibar
International Criket Club and Sports Complex” wakijumuika na Wananchi katika
moja ya burudani muziki wa Taarab wakati kikundi cha Wajelajela wakitowa
burudani katika hafla hiyo ya Uzinduzi wa Mradi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi,
katika eneo la mradi huo Fumba Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-6-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkurungezi Mtendaji wa ZIPA
Bw., Shariff Ali Shariff akizungumza na kutowa maelezo ya Uwekezaji wa Mradi wa
Kisasa wa Michezo “Zanzibar
International Criket Club and Sports Complex” unaojengwa katika eneo la Fumba
Wilaya ya Magharibi “B” Unguja wakati wa Uzinduzi wa Mradi huo na Uwekaji wa
Jiwe la Msingi, uliyofanyika katika eneo la ujenzi wa mradi huo leo 3-6-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mwakilishi wa Kampuni ya JHIL kutoka
India Bw,.Sunil Monohar Gavaskar, wakimsikiliza Waziri wa Utalii na Mambo ya
Kale Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said, akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi
wa Mradi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi la ujenzi wa mradi wa Kisaa wa Michezo
“Zanzibar International Criket and Sports Complex” unaojengwa katika eneo la
Fumba Wilaya ya Magharibiu “B” Unguja
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya JHIL Enterprises kutoka India Bw. Jilesh Hitmat Babla, akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mradi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi la ujenzi wa mradi wa Kisaa wa Michezo “Zanzibar International Criket and Sports Complex” unaojengwa katika eneo la Fumba Wilaya ya Magharibiu “B” Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mwakilishi wa Kampuni ya JHIL kutoka
India Bw,.Sunil Monohar Gavaskar, wakimsikiliza Waziri wa
Habari,Vijana,Utamaduni Sanaa na Michezo Zanzibar Mhe.Tabia Maulid Mwita,
akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mradi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi
la ujenzi wa mradi wa Kisaa wa Michezo “Zanzibar International Criket and
Sports Complex” unaojengwa katika eneo la Fumba Wilaya ya Magharibiu “B” Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa
Mradi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi la ujenzi wa Mradi wa Kisasa wa Michezo “Zanzibar International Criket Club and
Sports Complex” Fumba Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-6-2022, unaojengwa
na Kampuni ya JHIL kutoka Nchini IndiaRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa
Mradi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi la ujenzi wa Mradi wa Kisasa wa Michezo “Zanzibar International Criket Club and
Sports Complex” Fumba Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-6-2022, unaojengwa
na Kampuni ya JHIL kutoka Nchini India
WANANCHI wakishangilia wakati Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani)
akihuubia wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mradi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi la
ujenzi wa mradi wa kisasa wa michezo
“Zanzibar International Ckriket Club and Spotrs Complex” Fumba Wilaya ya
Magharibi “B” Unguja leo 3-6-2022., unaojengwa na Wawekezaji kutoka Nchini
India.
WAGENI waalikwa na Wawekezaji kutoka Nchini
India wakihudhuria hafla ya Uzinduzi wa Mradi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi la
ujenzi wa Mradi wa Kisasa wa Michezo “Zanzibar International Criket Club and
Sports Complex” unaojengwa katika eneo la maeneo huru ya Uchumi Fumba,
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein
Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla hiyo ya uzinduzi
iliyofanyika katika eneo la mradi huo Fumba Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo
3-6-2022
WANANCHI wa Kijiji cha Fumba wakihudhuria hafla
ya Uzinduzi wa Mradi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi la ujenzi wa Mradi wa Kisasa
wa Michezo “Zanzibar International Criket Club and Sports Complex” unaojengwa
katika eneo la maeneo huru ya Uchumi Fumba, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani)
akihutubia katika hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika katika eneo la mradi huo
Fumba Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-6-2022
No comments:
Post a Comment