Habari za Punde

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Aongoza Wananchi Katika Dua ya Kuiombea Nchi Juu ya Majanga Mbalimbali na Matukio ya Udhalilishaji.

MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mattar Zahor Masoud, akiwaongoza wananchi wa mkoa huo katika dua ya pamoja ya kuiombea taifa juu ya majanga mbali mbali, pamoja na matukio ya udhalilishaji yanayotokea, dua hiyo imefanyika katika uwanja wa michezo gombani na kuandaliwa na ofisi ya Mufti Pemba
MAAFISA wadhamini kutoka Wizara mbali mbali za Serikali Pemba, wakiwa katika dua ya pamoja ya kuiombea nchi dhidi ya majanga mbali mbali, ikiwemo matukio ya udhalilishaji yanayoendelea kutokea, dua hiyo imefanyika katika uwanja wa michezo gombani na kuandaliwa na ofisi ya Mufti Pemba
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Salama Mbarouk Khatib, akiwaongoza wanawake katika dua ya pamoja ya kuiombea nchi dhidi ya majanga mbali mbali, ikiwemo matukio ya udhalilishaji yanayoendelea kutokea dua hiyo imefanyika katika uwanja wa michezo gombani na kuandaliwa na ofisi ya Mufti Pemba.
MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mattar Zahor Masoud (wa pili kulia), akiwaongoza wananchi wa kisiwa cha Pemba katika dua ya pamoja ya kuiombea nchi dhidi ya majanga mbali mbali, ikiwemo matukio ya udhalilishaji yanayoendelea kutoka dua hiyo imefanyika katika uwanja wa michezo gombani na kuandaliwa na ofisi ya Mufti Pemba
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Salama Mbarouk Khatib, akiwaongoza viongozi wanawake wa Taasisi za Serikali na wananchi, katika dua ya pamoja ya kuiombea nchi dhidi ya majanga mbali mbali, ikiwemo matukio ya udhalilishaji yanayoendelea kutokea dua hiyo imefanyika katika uwanja wa michezo gombani na kuandaliwa na ofisi ya Mufti Pemba
MSAIDIZI katibu wa Mufti Zanzibar Sheikh Said Ahmad Mohamed, akizungumza katika dua ya pamoja ya kuiombea nchi dhidi ya majanga mbali mbali, ikiwemo matukio ya udhalilishaji yanayoendelea kutokea, dua hiyo imefanyika katika uwanja wa michezo gombani na kuandaliwa na ofisi ya Mufti Pemba

MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mattar Masoud Zahor, akizungumza mara baada ya kumaliza dua ya pamoja ya kuiombea nchi dhidi ya majanga mbali mbali, ikiwemo matukio ya udhalilishaji yanayoendelea kutokea, dua hiyo imefanyika katika uwanja wa michezo gombani na kuandaliwa na ofisi ya Mufti Pemba.

(PICHA NA ABDI SULEIMAN)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.