Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Leopold Sedar Senghor Jijini Dakar nchini Senegal tarehe 06 Julai 2022 kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi za Afrika zinazonufaika na Dirisha la Maendeleo ya Kimataifa (IDA Summit for Africa)
SHULE ZA MSINGI 3 KUJENGWA LUDEWA
-
Na. Damian Kunambi, Njombe.
Kutokana na baadhi ya wananchi wilayani Ludewa mkoani Njombe kuishi katika
maeneo ya pembezoni na kupelekea watoto kutembea ...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment