Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Leopold Sedar Senghor Jijini Dakar nchini Senegal tarehe 06 Julai 2022 kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi za Afrika zinazonufaika na Dirisha la Maendeleo ya Kimataifa (IDA Summit for Africa)
PROF. NDALICHAKO APONGEZA PSSSF KWA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)
Profesa Joyce Ndalichako, akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi
...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment