MUONEKANO wa Jengo Jipya la Hospitali ya Wilaya
ya Micheweni Pemba likiendelea na Ujenzi wake na kuwekaji Jiwe la Msingi la
Ujenzi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.,Hussein
Ali Mwinyi, wakati wa ziara yake Pemba kutembelea Miradi ya Maendeleo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo ya Kitaalam ya Ujenzi wa
Hospitali ya Wilaya ya Micheweni Pemba kutoka kwa Mhandisi wa Wizara ya Afya
Ndg. Said Ali Bakari,wakati akitembelea jengo hilo baada ya kuweka Jiwe la
Msingi la Ujenzi wake,na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam
Mwinyi na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe. Salama Mbarouk
na Naibu Waziri Wizara ya Afya Zanzibar Mhe. Hassan Hafidh Khamis
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa Pazia kuashiria kuweka Jiwe la
Msingi la Hospitali ya Wilaya ya Micheweni Pemba akiwa na Naibu Waziri wa Afya
Zanzibar Mhe. Hassan Hafidh Khamis na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa
Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo ya Kitaalam ya Ujenzi wa
Hospitali ya Wilaya ya Micheweni Pemba kutoka kwa Mhandisi wa Wizara ya Afya
Ndg. Said Ali Bakari,wakati akitembelea jengo hilo baada ya kuweka Jiwe la
Msingi la Ujenzi wake,na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam
Mwinyi na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe. Salama Mbarouk
na Naibu Waziri Wizara ya Afya Zanzibar Mhe. Hassan Hafidh Khamis.
RAIS wa Zanzibar wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakimsikiliza
Mjasimriamali wa bidhaa mbalimbali wakati wakitembelea maonesho ya
Wajasiriamali wa Mkoa wa Kaskazini Pemba yaliofanyika katika viwanja vya mpira
Micheweni Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Vifaa vya kulimia Mwaniu
Mjasiriamali Bi. Zuma Omar Faki, hafla
hiyo ya kukabidhi Vifaa vya Kilimo cha Mwani iliyofanyika katika viwanja vya
mpira Micheweni Pemba na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam
Mwinyi na Mratibu Mradi wa URT.Ofisi ya Makamu wa Rais Tanzania Ndg.Joseph
Kihaula.
No comments:
Post a Comment