Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifungulia maji kuashiria uzinduzi wa mradi wa maji safi wa Shongo-Mbalizi katika eneo la Mbalizi Mkoani Mbeya leo tarehe 05 Agosti, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Mbalizi mkoani Mbeya mara baada ya kuzindua mradi wa maji safi wa Shongo-Mbalizi tarehe 05 Agosti, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi pamoja na Wafanyakazi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya Kitengo cha Wazazi na Watoto Wachanga Meta mara baada ya kuzindua ujenzi wa jengo la afya ya huduma ya mama na mtoto Meta Mkoani Mbeya tarehe 05 Agosti, 2022.
No comments:
Post a Comment