RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi baada ya kuwasili
katika viwanja vya Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo
29-8-2022, kwa ajili ya Ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Bima Ukanda wa
Mashariki na Kusini mwa Afrika (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt. Saada Mkuya Salum, Katibu wa Baraza la
Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Kamishna wa Bima
Tanzania Dkt. Baghayo A.Saqware
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiangalia ngoma ya utamaduni ikitowa
burudani katika viwanja vya Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja wakati wa hafla
ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 44 Umoja wa Wanabima Ukanda wa Mashariki na
Kusini Mwa Afrika, uliofanyika leo 29-8-2022, katika ukumbi wa hoteli hiyo (kushoto
kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Saada Mkuya
Salum, Kamishna wa Bima Tanzania Dkt. Baghayo Saqware, Mama Margaret Ikongo na
Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akielekea katika ukumbi wa mkutano wa
Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni , kwa ajili ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 44
wa Umoja wa Wanabima Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika, uliyofanyika leo
29-8-2022 katika ukumbi wa hoteli hiyo na (kushoto kwa Rais) Kamishna wa Bima
Tanzania Dkt.Baghayo Abdallah Saqware.
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandali ya Mkutano Mkuu wa 44 wa Umoja wa Wanabima Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika.Mama Margaret Ikongo akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika leo 29-8-2022 katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja Jijini Zanzibar na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.
MWENYEKITI wa Bodi ya Umoja wa Makampuni ya Bima
Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika Bi.Patty Karuaihe Martin akizungumza
na kutowa maelezo ya Umoja huo wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 44 wa
Umoja wa Wanabima Ukanda wa Mashariki na
Kusini mwa Afrika uliyofanyika leo 29-8-2022, katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat
Al Bahr Mbweni Unguja Jijini Zanzibar, na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
CEO wa Kampuni ya Masawara Group. Bw.Shingai
Mutasa wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 44 wa Umoja wa Wanabima Ukanda wa
Mashariki na Kusini mwa Afrika, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat
Al Bahr Mbweni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 29-8-2022,
uliofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.
Kamishna wa Bima Tanzania Dkt.Baghayo Abdallah Saqware akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 44 wa Umoja wa Wanabima Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika uliofanyika leo katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja Jijini Zanzibar na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi leo 29-8-2022.WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar
Mhe.Dkt.Saada Mkuya Salum akizungumza wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Mkutano
Mkuu wa 44 wa Umoja wa Wanabima Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika,
uliofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni
Wilaya ya Magharibi “B”Unguja Jijini Zanzibar leo.29-8-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua Mkutano Mkuu wa 44
wa Umoja wa Wanabima Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika, uliowashirikisha
Wadau wa Bima, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni
Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 29-8-2022
WASHIRIKI wa Mkutano Mkuu wa 44 wa Umoja wa
Wanabima Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika, wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Husein Ali Mwinyi.(hayupo
pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa
Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 29-8-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua Mkutano Mkuu wa 44
wa Umoja wa Wanabima Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika, uliowashirikisha
Wadau wa Bima, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni
Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 29-8-2022
WASHIRIKI wa Mkutano Mkuu wa 44 wa Umoja wa
Wanabima Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika, wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Husein Ali Mwinyi.(hayupo
pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa
Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 29-8-2022
WASHIRIKI wa Mkutano Mkuu wa 44 wa Umoja wa
Wanabima Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika, wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Husein Ali Mwinyi.(hayupo
pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa
Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 29-8-2022
WASHIRIKI wa Mkutano Mkuu wa 44 wa Umoja wa
Wanabima Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika, wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Husein Ali Mwinyi.(hayupo
pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa
Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 29-8-2022
No comments:
Post a Comment