Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichokutana Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2022.
Elimu : Zaidi ya Washiriki 1,500 Kushiriki Kongamano la 18 la Kimataifa la
eLearning Africa
-
ZAIDI ya washiriki 1,500 wakiwemo mawaziri wa elimu kutoka zaidi ya nchi 50
za Afrika wanatarajiwa kushiriki katika Kongamano la 18 la Kimataifa la
eLear...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment