RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimsikiliza Dr.Adam O.Karia wakati
akitembelera maonesho ya Sekta ya Maji katika viwanja vya Hoteli ya Golden
Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Unguja , wakati wa ufunguzi wa Kongamano la
Wadau wa Sekta ya Maji, lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli hiyo leo
14-9-2022
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akisoma kipeperushi wakati akitembelea banda la maonesho la Kampuni ya L&T
Construction Water Effluent kutoka India,yaliyofanyika katika viwanja vya
Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja, wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Wadau wa Sekta ya Maji lililofanyika
katika ukumbi wa hoteli hiyo leo 14-9-2022
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimsikiliza akimsikiliza Menaja Biashara wa ZECO Ndg. Thabit Salum Khamis,
wakati akitembelera maonesho ya Sekta ya Maji katika viwanja vya Hoteli ya
Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Unguja , wakati wa ufunguzi wa
Kongamano la Wadau wa Sekta ya Maji, lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli hiyo
leo 14-9-2022
No comments:
Post a Comment