RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatilia hutuba ya Sala ya Ijumaa
ikisomwa na Sheikh Said Ali Saleh.(hayupo pichani) kabla ya Ibada ya Sala
iliyofanyika katika Msikiti Mabuluu mlandege Wilaya ya Mjini Unguja leo 2-9-2022, na (kulia
kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Waumini wa
Dini ya Kiislam baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika leo 2-9-2022 katika Mskiti wa Mabuluu
Mlandege Wilaya ya Mjini Unguja
WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na kuwasalimia baada ya kumalizika kwa
Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Msikiti wa Mabuluu Mlandege Wilaya
ya Mjini Unguja leo 2-9-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wakiitikia dua
ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (kulia kwa Rais)
baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Msikiti Mabuluu
Mlandege Wilaya ya Mjini Unguja leo 2-9-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Waumini wa Kiislam
baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa, iliyofanyika katika Msikiti Mabuluu
Mlandege Wilaya ya Mjini Unguja leo 2-9-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Waumini wa Kiislam
baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa, iliyofanyika katika Msikiti Mabuluu
Mlandege Wilaya ya Mjini Unguja leo 2-9-2022.
No comments:
Post a Comment