Habari za Punde

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Amwakilisha Rais Mhe.Samia Katika Mazishi ya Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Japan Shinzo ABE

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (wa pili kushoto)  wakiweka maua wakati wa mazishi ya kitaifa ya aliyekuwa Waziri Mkuu Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo  Abe yaliyofanyika  Tokyo nchini Japan Septemba 27, 2022. Kushoto ni mke wa Balozi wa Tanzania nchini Japan, Consolata Luvanda, na kulia ni Naibu Waziri wa  Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (wa pili kushoto)  wakijiandaa kuweka maua wakati wa  mazishi ya kitaifa ya aliyekuwa Waziri Mkuu Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo  Abe yaliyofanyika  Tokyo nchini Japan Septemba 27, 2022. Wengine kutoka kushoto  ni mke wa Balozi wa Tanzania nchini Japan, Consolata Luvanda, Balozi wa Tanzania nchini Japan, Baraka Luvanda na kulia ni Naibu Waziri wa  Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.