Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt.Philip Mpango akisalimiana na
Waziri wa Mipango na Maendeleo wa Ivory Coast Mheshimiwa Kaba Nialé mara
alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Félix
Houphouët Boigny Abidjan nchini
Ivory Coast leo tarehe 31 Oktoba 2022. (Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Nigeria
ambaye anaiwakilisha pia Tanzania nchini Ivory Coast Dkt.Benson Bana).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt.Philip Mpango akipokelewa na
baadhi ya watanzania waishio nchini Ivory Coast mara baada ya kuwasili Abidjan
leo tarehe 31 Oktoba 2022.
No comments:
Post a Comment