MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali alipowasili katika
viwanja vya Afisi ya CCM Amani Mkoa wa Mjini, kuhudhuria Mkutano Mkuu wa wa
Uchaguzi wa CCM Ngazi ya Wilaya ya Amani,
uliofanyika katika ukumbi huo leo 2-10-2022
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa
wa Mjini Kichama Ndg.Talib Ali Talib, wakiwa katika ukumbi wa Mkutano Mkuu wa
Uchaguzi CCM Ngazi Wilaya ya Amani
Kichama, uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Amani Mkoa wa Mjini leo
2-10-2022
Wagombea Nafasi za Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wakijieleza na kuomba kura kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Uchagiuzi wa CCM Ngazi ya Wilaya ya Amani Kichama uliofanyika leo katika ukumbi wa Afisi ya CCM Amani Mkoa wa Mjini Kichama leo 2-10-2022.
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Husseinn Ali Mwinyi akipiga kura kumchagua Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya
Amani na Viongozi wa ngazi ya Wilaya wa
CCM, uliofanyika katika ukumbi wa Afisi CCM Amani Mkoa wa Mjini Kichama
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Amani Mwakilishi wa Jimbo la Mpendae Zanzibar Mhe.Tofiq Salim Turky akipiga kura kuwachagua Viongozi wa Ngazi ya Wilaya ya Amani Kichama uliofanyika leo 2-10-2022 katika ukumbi wa Afisi ya CCM Amani Mkoa wa Mjini Kichama.
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa CCM Wilaya ya Amani Mbunge wa Jimbo la Amani Mhe. Mussa Hassan Mussa akipiga kura kuwachagua Viongozi wa Ngazi ya Wilaya ya Amani Kichama uliofanyika leo 2-10-2022 katika ukumbi wa Afisi ya CCM Amani Mkoa wa Mjini Kichama.
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa CCM Wilaya ya Amani Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Mhe. Ussi Salum Pondeza akipiga kura kuwachagua Viongozi wa Ngazi ya Wilaya ya Amani Kichama uliofanyika leo 2-10-2022 katika ukumbi wa Afisi ya CCM Amani Mkoa wa Mjini Kichama.MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein
Ali Mwinyi akizungumza na kutowa nasaha zake kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa
Uchaguzi wa CCM Ngazi ya Wilaya ya Amani Kichama, uliofanyika katika ukumbi wa
Afisi ya CCM Amani Mkoa leo 2-10-2022
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa CCM Ngazi
ya Wilaya ya Amani Kichama wakimsikiliza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi,(hayupo
pichani) akizungumza na kutowa nasaha zake kwa Wajumbe baada ya kupiga kura
kumchagua Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Amani na Wajumbe wa CCM ngazi ya Wilaya,uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya
CCM Amani Mkoa wa Mjini Kichama leo 2-10-2022
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa CCM Ngazi
ya Wilaya ya Amani Kichama wakimsikiliza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi,(hayupo
pichani) akizungumza na kutowa nasaha zake kwa Wajumbe baada ya kupiga kura
kumchagua Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Amani na Wajumbe wa CCM ngazi ya Wilaya,uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya
CCM Amani Mkoa wa Mjini Kichama leo 2-10-2022
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa CCM Ngazi
ya Wilaya ya Amani Kichama wakimsikiliza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi,(hayupo
pichani) akizungumza na kutowa nasaha zake kwa Wajumbe baada ya kupiga kura
kumchagua Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Amani na Wajumbe wa CCM ngazi ya Wilaya,uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya
CCM Amani Mkoa wa Mjini Kichama leo 2-10-2022.
No comments:
Post a Comment