RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wanafamilia wa Marehemu
Mussa Hassan Mussa, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Amani Zanzibar, alipofika
Kijijini kwao marehemu Bwejuu kwa ajili ya kutowa mkono wa pole na kuhudhuria
Kisomo cha Hitma na dua ya kumuombea marehemu iliyofanyika katika Msikiti wa
Bwejuu Wilaya ya Kusini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akishiriki katika kisomo cha Hitma na Dua
ya kumuombea Marehemu Mussa Hassan Mussa, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Amani
Zanzibar, kisomo hicho kilichofanyika katika Msikiti wa Bwejuu Wilaya ya Kusini
Unguja 15-10-2022, na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.
Rashid Hadidi Rashid na (kulia kwa Rais) Katibu Mtendaji Ofisi ya Mufti Mkuu
Sheikh Khalid Ali Mfaume
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akishiriki katika kisomo cha Hitma na Dua
ya kumuombea Marehemu Mussa Hassan Mussa, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Amani
Zanzibar, kisomo hicho kilichofanyika katika Msikiti wa Bwejuu Wilaya ya Kusini
Unguja 15-10-2022, na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.
Rashid Hadidi Rashid na (kulia kwa Rais) Katibu Mtendaji Ofisi ya Mufti Mkuu
Sheikh Khalid Ali Mfaume
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akishiriki katika kisomo cha Hitma na Dua
ya kumuombea Marehemu Mussa Hassan Mussa, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Amani
Zanzibar, kisomo hicho kilichofanyika katika Msikiti wa Bwejuu Wilaya ya Kusini
Unguja leo 15-10-2022, na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.
Rashid Hadidi Rashid na Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Mhe. Rajab Yussu
Mkasaba (kulia kwa Rais) Katibu Mtendaji Ofisi ya Mufti Mkuu Sheikh Khalid Ali
Mfaume.
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk,.Hussein Ali Mwinyi akitowa mkono wa
pole kwa familia ya marehemu Mussa Hassan Mussa, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la
Amani Zanzibar, alipofika nyumbani kwa familia ya marehemu Bwejuu Wilaya ya
Kusini Unguja 15-10-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wanafamilia ya Marehemu
Mussa Hassan Mussa, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Amani wakiitikia dua ya kumuombea marehemu,
alipofika kutowa mkono wa pole kwa familia Kijijini kwao Bwejuu Wilaya ya
Kusini Unguja 15-10-2022, ikisomwa na Katibu Mtendaji Ofisi ya Mufti Mkuu
wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume.(kushoto kwa Rais)
No comments:
Post a Comment