Ujumbe wa Tanzania ulioambatana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakimsikiliza kwa makini Rais Samia alipokuwa akizungunmza katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Sharm El Sheikh, nchini Misri tarehe 08 Novemba, 2022.
Viongozi mbalimbali wakiwa katika Mkutano wa hadhi ya juu wa kuipa uwezo vituo vya Nishati pamoja na Nishati jadidifu Kusini mwa Afrika katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Sharm El Sheikh, nchini Misri tarehe 08 Novemba, 2022.
No comments:
Post a Comment