Kamishna tiba kinga na marekebisho ya Tiba Juma Zidikheir akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mradi wa ujenzi wa kituo cha Marekebisho ya tabia na miradi ya Ujasiriamali Kidimni Wilaya ya kati Zanzibar (kulia) Khamis Vuai Rajab kutoka Kamisheni utawala na Mipango na Raya Hamad Mwandishi muandamizi kutoka Afisi ya Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar.
Kamishna wa Kinga na marekebisho ya Tiba Juma Zidikheir akiwaonyesha waandishi ramani ya majengo yanayoendelea kujengwa katika kituo cha Marekebisho ya tabia na miradi ya Ujasiriamali Kidimni Wilaya ya kati Zanzibar.
Baadhi ya Wajumbe na waandishi wakielekea katika yanayoendelea kujengwa katika kituo cha Marekebisho ya tabia na miradi ya Ujasiriamali Kidimni Wilaya ya kati Zanzibar.
Daktari dhamana wa kituo cha Marekebisho ya tabia na miradi ya Ujasiriamali Abdulrahman Abdulla akiwapa maelezo waandishi wa habari (hawapo pichani) jinsi anavyofundisha wakati anapokuwa darasani watu wanaorekebishwa tabia.
Kamishina tiba kinga na marekebisho ya tiba Juma Zidikheir akiwaonyesha mitambo baadhi ya waandishi wahabari itakayotumika kwa ajili ya kuoshea gari.
Kamishna wa Tiba Kinga na marekebisho ya Tiba Juma Zidikheir akizungumza na waandishi wa habari akionyesha kompyuta itakayotumika kwaajili ya kuonyeha vifaa wakati inapochunguzwa mara wakati wa kuwasilishwa eneo hilo.
Picha na Miza Othman - Maelezo Zanzibar.
No comments:
Post a Comment