Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Azungumza na Watumishi wa Umma wa Wilaya ya Kisarawe

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Watumishi wa Umma wa wilaya ya Kisarawe akiwa katika siku ya tatu ya ziara ya Mkoa wa Pwani, Novemba 29, 2022. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa  Rais,  Muungano na Mazingira abaye pia ni Mbunge wa Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo.
Baadhi ya Watumishi wa Umma wa wilaya ya Kisarawe wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao  akiwa katika siku ya tatu ya ziara ya Mkoa wa Pwani
Baadhi ya Watumishi wa Umma wa wilaya ya Kisarawe wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao  akiwa katika siku ya tatu ya ziara ya Mkoa wa Pwani, Novemba 29, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.