Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg.Shaka Hamdu Shaka akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali Jijini Dodoma leo 6-12-2022, baada ya kumalizika kwa Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika katika ukumbi wa White House Dodoma.
Akifafanua jambo wakati wa mkutano wake na waandishi wakati akitowa taarifa ya Kikao kwa waandishi.
No comments:
Post a Comment