MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar
ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akielekea katika ukumbi wa mkutano wa Jakaya Kikwete Jijini
Dodoma kuhudhuria Mkutano Mkuu wa 10 wa Chama
Cha Mapinduzi uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini
Dodoma leo 8-12-2022, na (kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar
Dkt.Abdalla Juma Sadala.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar
Mstaafu Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, alipowasili katika ukumbi wa mikutano wa
Jakaya Kikwete Jijini Dodoma,wakati wa Mkutano Mkuu wa 10 wa Chama cha Mapinduzi,
uliofanyika leo 8-12-2022
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifurahia jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango, wakiwa katika ukumbi wa mkutano wa
Jakaya Kikwete Jijini Dodoma, wakati wa Mkutano Mkuu wa 10 wa CCM uliofanyika
leo 8-12-2022.
No comments:
Post a Comment