Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi leo amepokelewa na Viongozi wa Serikali wakati alipowasili Kisiwani Pemba kushiriki matembezi na Mazoezi ya Viungo tr 01 jan 2023 kwa kuukaribisha Mwaka mpya,sambamba na uzinduzi wa miradi mbali mbali ya mendeleo katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 31/12/2022.
ROMBO MPYA YA KUWEKEZA KWENYE ELIMU - DC MWANGALA
-
Na Mwandishi wetu, Rombo
MKUU wa wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Raymond Mwangala amewataka
wakazi wa eneo hilo kuwekeza kwenye elimu kwani mataifa meng...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment