Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi leo amepokelewa na Viongozi wa Serikali wakati alipowasili Kisiwani Pemba kushiriki matembezi na Mazoezi ya Viungo tr 01 jan 2023 kwa kuukaribisha Mwaka mpya,sambamba na uzinduzi wa miradi mbali mbali ya mendeleo katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 31/12/2022.
Dar City, Fox Divas watwaa ubingwa wa betPawa NBL 2025
-
Na Mwandishi wetu
Timu ya Dar City kwa upande wa wanaume na Fox Divas kwa upande wa wanawake
zimetwaa ubingwa wa mashindano ya klabu bingwa ya mpira wa k...
4 hours ago



0 Comments