Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waumini wa dini ya Kiislamu mara baada kujumuika katika Swala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Zanzibar leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) pamoja na Viongozi na Waumini wa dini ya Kiislamu wakiitikia dua iliyosomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi mara baada kujumuika katika Swala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiagana na Viongozi wa Msikiti Mkuu wa Ijumaa wa Malindi leo mara baada ya kujumuikanao katika Swala ya Ijumaa pamoja na Waumini mbali mbali .[Picha na Ikulu]
No comments:
Post a Comment