RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalum na Chancellor wa Chuo cha Zanzibar University.Eng.Dr.Abulqadir
Othman Hafiz, baada ya kumalizika kwa Mahafali ya 20 ya Chuo hicho
yaliyofanyika leo 21-12-2022, katika viwanja vya Chuo Kibele Wilaya ya Kati
Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akiondoka katika viwanja vya Chuo cha Zanzibar Univesity (ZU) baada ya
kumalizika kwa Mahafali ya 20 ya Chuo hicho yaliyofanyika leo 21-12-2022, na
(kushoto kwac Rais) Chancellor.wa Chuo cha Zanzibar Univesity Eng.Dr.Abulqadir
Othman Hafiz na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Rashid Hadidi Rashid
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akiwapungia mkono Wahitimu ya Chuo cha Zanzibar Univesity (ZU) baada ya
kumalizika kwa Mahafali ya 20 ya Chuo hicho yaliofanyika leo 21-12-2022, katika
viwanja vya Chuo Kibele Wilaya ya Kati Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akiagana na Chancellor wa Chuo cha Zanzibar Univesity (ZU) Eng.Dr.Abulqadir
Othman Hafiz, baada ya kumalizika kwa Mahafali ya 20 ya Chuo hicho yaliyofanyika
leo katika viwanja vya Chuo Kibele Wilaya ya Kati Unguja
No comments:
Post a Comment