RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza
na Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali ikiwa ni kawaida yake kukutana na
Waandishi kila mwisho wa mwezi, mkutano huo uliyofanyika leo 31-12-2022 katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza
na Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali ikiwa ni kawaida yake kukutana na
Waandishi kila mwisho wa mwezi, mkutano huo uliyofanyika leo 31-12-2022 katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
WAANDISHI
wa Habari wa vyombo mbalimbali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na
waandishi ikiwa ni kawaida yake kila mwisho wa mwezi, mkutano huo uliofanyika
leo 31-12-2022, katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
WAANDISHI
wa Habari wa vyombo mbalimbali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na
waandishi ikiwa ni kawaida yake kila mwisho wa mwezi, mkutano huo uliofanyika
leo 31-12-2022, katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
WAANDISHI
wa Habari wa vyombo mbalimbali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na
waandishi ikiwa ni kawaida yake kila mwisho wa mwezi, mkutano huo uliofanyika
leo 31-12-2022, katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said akifuatilia mkutano wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali.(hayupo pichani) wakati wa mkutano na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali uliyofanyika leo 31012-2022 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
MWANDISHI
wa Habari mwandamizi Zanzibar Ndg. Salum Vuai akiuliza swali wakati wa mkutano
wa Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, uliyofanyika leo 31-12-2022
katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
MWANDISHI
wa Habari wa Gazeti la Uhuru na Mzalendo Bi. Hanifa Ramadhani akiuliza swali wakati
wa Mkutano wa Waandishi wa habari na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi uliyofanyika leo 31-12-2022, katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
MWANDISHI
wa Habari Mwandamizi Tanzania Ndg. Jabir Idrisa akiuliza swali wakati wa
mkutano wa Waandishi wa habari na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi uliyofanyika leo 31-12-2022, katika ukumbi
wa Ikulu Jijini Zanzibar
No comments:
Post a Comment