Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa Akagua Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi

Muonekano majengo ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi ambayo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikagua ujenzi wake  akiwa katika siku ya kwanza ya ziara ya Mkoa wa Katavi, Disemba 12, 2022.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi, Dkt.  Patrice Sarafine  (kulia)  kuhusu  ujenzi wa Hospitali hiyo iliyopo Mpanda, Disemba 12,2022. Waziri Mkuu alikuwa katika siku ya kwanza ya ziara ya kikazi mkoani humo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi, Dkt.  Patrice Sarafine  kuhusu  ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya  Mkoa wa Katavi iliyopo Mpanda, Disemba 12,2022. Waziri Mkuu alikuwa katika siku ya kwanza ya ziara ya kikazi mkoani humo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi, Dkt.  Patrice Sarafine  kuhusu  ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya  Mkoa wa Katavi iliyopo Mpanda mjini, Disemba 12,2022. Waziri Mkuu alikuwa katika siku ya kwanza ya ziara ya kikazi mkoani humo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mashine ya maabara wakati alipokagua ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi akiwa katika siku ya kwanza ya ziara ya kikazi mkoani Katavi,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kukagua ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi akiwa katika ziara ya kikazi ya Mkoa wa Katavi, Disemba 12, 2022.
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.