Mkurugenzi wa City College of Health Ilala Campus Dar es Salaam Ndg. Shabani Mwanga akimkabidhi fedha taslim shilingi laki mbili Mchezaji wa Timu ya Azam James Akaminko kwa kuibuka mshindi wa Fair Play katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi kati ya Timu ya Azan na Jamhuri mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Timu ya Azam imeshinda mchezo huo kwa bao 3--0.
MANISPAA YA SINGIDA KUKUSANYA BILIONI 33.6 MWAKA WA FEDHA WA 2023/2024
-
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Singida , Yagi Kiaratu akiongoza kikao cha
Baraza la Madiwani kilichoketi leo Februari 1, 2023 kwa ajili ya mapitio
ya u...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment