Mkurugenzi wa City College of Health Ilala Campus Dar es Salaam Ndg. Shabani Mwanga akimkabidhi fedha taslim shilingi laki mbili Mchezaji wa Timu ya Azam James Akaminko kwa kuibuka mshindi wa Fair Play katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi kati ya Timu ya Azan na Jamhuri mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Timu ya Azam imeshinda mchezo huo kwa bao 3--0.
AIRTEL TANZANIA YANG’ARA HUDUMA BORA ZA MTANDAO-TCRA
-
AIRTEL TANZANIA imeibuka kinara wa kutoa huduma bora za mtandao kufuatia
ripoti ya Takwimu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inayoishia
Machi 2...
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment