Mkurugenzi wa City College of Health Ilala Campus Dar es Salaam Ndg. Shabani Mwanga akimkabidhi fedha taslim shilingi laki mbili Mchezaji wa Timu ya Azam James Akaminko kwa kuibuka mshindi wa Fair Play katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi kati ya Timu ya Azan na Jamhuri mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Timu ya Azam imeshinda mchezo huo kwa bao 3--0.
RAIS SAMIA ANAPENDA KUFANYA KAZI NA VIONGOZI WA DINI - DKT. BITEKO
-
📌 Asisitiza milango ya Rais Samia ipo wazi kwa ajili ya mazungumzo kwa
mustakabali wa Taifa
📌 Asema Serikali inatambua na kuthamini kazi kubwa inayofa...
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment