Habari za Punde

City College of Health Ilala Campus Yakabidhi Zawadi kwa Mshindi wa Fair Play wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi

Mkurugenzi wa City College of Health Ilala Campus Ndg. Shabani Mwanga akimpongeza Mchezaji wa Timu ya Azam James Akaminko kwa kuibuka mshindi wa Fair Play katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi kati ya Timu ya Azan na Jamhuri mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Timu ya Azam imeshinda mchezo huo kwa bao 3--0. 
Mkurugenzi wa City College of Health Ilala Campus Dar es Salaam Ndg. Shabani Mwanga akimkabidhi fedha taslim shilingi laki mbili Mchezaji wa Timu ya Azam James Akaminko kwa kuibuka mshindi wa Fair Play katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi kati ya Timu ya Azan na Jamhuri mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Timu ya Azam imeshinda mchezo huo kwa bao 3--0. 
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.