Habari za Punde

Mhe Othman alipotembelea wagonjwa

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman (kulia), akisalimiana na Sheikh  Muhidin Zubeir  ambaye ni mgonjwa wakati Mhe. Makamu alipomtembelea kumjulia Hali nyumbani kwake Saraevo wilaya ya Magharib B Unguja leo tarehe 24.01.23 ( Picha na Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Kupitia Kitengo cha Habari). 
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman (kushoto), akizungumza na Mzee  Ali Abdalla Ali  ambaye ni mgonjwa wakati Mhe. Makamu alipomtembelea kumjulia Hali nyumbani kwake Chukwani  wilaya ya Magharib B Unguja leo tarehe 24.01.23 ( Picha na Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Kupitia Kitengo cha Habari). 

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman (kushoto), akisalalimiana na Kadhi Mkuu mstaafu Sheikh Khamis Haji  ambaye ni mgonjwa wakati Mhe. Makamu alipomtembelea kumjulia Hali nyumbani kwake Magogoni Magharib B Unguja leo tarehe 24.01.23 ( Picha na Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Kupitia Kitengo cha Habari).  

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman (kulia), akizungumza  na Sheikh Khamis Yussuf Khamis  ambaye ni Amiri wa Jumiya ya Answar Sunna na pia Naibu Katibu wa Jumuiya ya Maimamu Zanzibar (JUMAZA) ambaye ni mgonjwa wakati Mhe. Makamu alipomtembelea kumjulia Hali nyumbani kwake Magomeni Kwa Ayuba wilaya ya Mjini Unguja leo tarehe 24.01.23 ( Picha na Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Kupitia Kitengo cha Habari).   

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.