Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Azungumza na Msanii wa Kizazi Kipya Mboso

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa  fulana ikiwa na jina lake  na Msanii wa Kizazi Kipya (Bongo Fleva) Mbwana Yussuf Kilungi.(Mboso) baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Msanii wa Kizazi Kipya (Bongo Fleva) Mbwana Yussuf Kilungi.(Mboso) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakati akikabidhiwa fulana na Msanii wa Kizazi Kipya (Bongo Fleva) Mbwana Yussuf Kilungi (Mboso) baada ya kumaliza mazungumzo yake yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, wakiagana na Msanii wa Kizazi Kipya (Bongo Fleva) Mbwana Yussuf Kilungi.(Mboso) baada ya kumaliza mazungumzo yake yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, wakiagana na Msanii wa Kizazi Kipya (Bongo Fleva) Mbwana Yussuf Kilungi.(Mboso) baada ya kumaliza mazungumzo yake yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.