Habari za Punde

TANZANIA, UAE ZAINI USHIRIKIANO UTUNZAJI MAZINGIRA

Mwanamfalme wa Dubai ambaye pia ni Mwenyekiti wa kampuni ya Blue Carbon Mhe. Sheikh Ahmed Dalmook Al Maktoum akiwasili katika Ofisi ya Makamu wa Rais eneo la Mtumba jijini Dodoma na kupokelewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo na viongozi wengine akiwemo Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dkt. Switbert Mkama kwa ajili ya kushiriki hafla ya kusaini hati ya makubaliano kati ya kampuni hiyo na Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) kuhusu biashara ya kaboni.

Kamishna Mkuu wa Uhifadhi Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Pro. Dos Santos Silayo (kulia) na Bi. Josiane Sadaka wakisaini hati za makubaliano kuhusu biashara ya kaboni kwa niaba ya TFS na kampuni ya Blue Carbon katika ukumbi wa Ofisi ya Makamu jijini Dodoma
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akizungumza wakati wa hafla ya hafla ya kusaini hati ya makubaliano kati ya kampuni hiyo na Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) kuhusu biashara ya kaboni
Mwanamfalme wa Dubai ambaye pia ni Mwenyekiti wa kampuni ya Blue Carbon Mhe. Sheikh Ahmed Dalmook Al Maktoum akizungumza wakati wa hafla ya hafla ya kusaini hati ya makubaliano kati ya kampuni hiyo na Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) kuhusu biashara ya kaboni
Waziri Maliasili na Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akizungumza wakati wa  hafla ya kusaini hati ya makubaliano kati ya kampuni hiyo na Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) kuhusu biashara ya kaboni
Ujumbe wa Tanzania ukiwa katika hafla ya kusaini hati ya makubaliano kati ya kampuni hiyo na Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) kuhusu biashara ya kaboni
Ujumbe wa Dubai, Falme za Kiarabu ukiwa katika hafla ya kusaini hati ya makubaliano kati ya kampuni hiyo na Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) kuhusu biashara ya kaboni

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi Dkt, Pindi Chana na viongozi mbalimbali kutoka Tanzania wakiwa katikan picha ya pamoja na Mwanamfalme wa Dubai ambaye pia ni Mwenyekiti wa kampuni ya Blue Carbon Mhe. Sheikh Ahmed Dalmook Al Maktoum na ujumbe wake mara baada ya hafla ya hafla ya kusaini hati ya makubaliano kati ya kampuni hiyo na Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) kuhusu biashara ya kaboni, leo February 06, 2023.

 (PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.