Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwasili katika eneo la Wasso – Loliondo Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha kwaajili ya ziara ya kikazi katika Wilaya ya Ngorongoro leo tarehe 17 Mei 2023.
Bima ya AfyaPass kutoka VodaBima Yarahisisha Upatikanaji wa Huduma za Afya
-
Mwamko mdogo wa Watanzania kuhusu bima ya afya ni mojawapo ya changamoto
katika kutoa huduma bora za afya kwa wote kutokana na idadi ndogo ya
Watanzania we...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment