Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwasili katika eneo la
Wasso – Loliondo Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha kwaajili ya ziara ya kikazi
katika Wilaya ya Ngorongoro leo tarehe 17 Mei 2023.
VIKUNDI 49 VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI MBULU MJI KUPATA MIKOPO YA MILIONI 168
-
Na Mwandishi wetu, Mbulu
VIKUNDI 49 vya wanawake wajasiriamali waliopo kwenye Halmashauri ya Mji wa
Mbulu Mkoani Manyara, wanatarajia kupatiwa mikopo ya S...
57 minutes ago
No comments:
Post a Comment