Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa hisani kati ya Team Samatta na Team Kiba uliofanyika Azam Complex Chamazi Jumanne Juni 20, 2023. Pamoja naye ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe. Mwanahamisi Munkunda (shati jekundu) Mkurugenzi wa Michezo katika Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Neema Msitha (kushoto) na Mwandaaji wa shughuli hiyo Bi. Doris Mollel, kulia.
DK.SAMIA KUING'ARISHA BUHIGWE KWA UMEME WA UHAKIKA, KUIONGEZEA THAMANI
TANGAWIZI
-
Na Said Mwishehe, Michuzi TV-Kigoma
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk Samia Suluhu
Hassan amesema ni ya Serikali ni kuifanya ...
24 minutes ago
No comments:
Post a Comment