Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa hisani kati ya Team Samatta na Team Kiba uliofanyika Azam Complex Chamazi Jumanne Juni 20, 2023. Pamoja naye ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe. Mwanahamisi Munkunda (shati jekundu) Mkurugenzi wa Michezo katika Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Neema Msitha (kushoto) na Mwandaaji wa shughuli hiyo Bi. Doris Mollel, kulia.
WADAU WAPONGEZA JUHUDI ZA WAZAZI KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU WILAYA YA
MPIMBWE
-
*Sehemu ya wazazi wakiwa katika mikutano na washiriki wa Maadhimisho ya
Juma la Elimu (GAWE) 2025, kwenye ziara katika shule mbalimbali ndani ya
Halma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment