Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa hisani kati ya Team Samatta na Team Kiba uliofanyika Azam Complex Chamazi Jumanne Juni 20, 2023. Pamoja naye ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe. Mwanahamisi Munkunda (shati jekundu) Mkurugenzi wa Michezo katika Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Neema Msitha (kushoto) na Mwandaaji wa shughuli hiyo Bi. Doris Mollel, kulia.
TAMASHA LA UTALII NA UWEKEZAJI KISIWA CHA MAFIA LAZINDULIWA
-
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani
SERIKALI Mkoani Pwani, imedhamiria kufungua Kisiwa cha Mafia katika nyanja
ya Uchumi wa Bluu pamoja na kukitangaza ulimwenguni ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment