Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama wakati wa Wimbo wa Taifa ukiimbwa katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma wakati wa kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) tarehe 10 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la
Heshima lililoandaliwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakati wa Kilele cha
Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa
Jamhuri Jijini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la
Heshima lililoandaliwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakati wa Kilele cha
Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa
Jamhuri Jijini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akielekea Jukwaa Kuu
mara baada ya kukagua Gwaride la Heshima lililoandaliwa na Jeshi la Kujenga
Taifa (JKT) wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi hilo katika
uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajab Mabele wakati wa
Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika
uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa,
Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga
Taifa Mhe. Innocent Bashungwa, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali
Jacob John Mkunda pamoja na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali
Rajab Mabele wakati Gwaride la JKT likipita mbele ya Jukwaa Kuu wakati wa
Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi hilo kwenye uwanja wa Jamhuri
Jijini DodomaGwaride la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) likipita kwa mwendo wa pole na haraka mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma
No comments:
Post a Comment