Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango leo tarehe 18 Agosti
2023 akiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 4 De Fevereiro Jijini
Luanda nchini Angola mara baada ya kuhitimishwa kwa Mkutano wa 43 wa Wakuu wa
Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC). (kushoto ni
Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango)
No comments:
Post a Comment