Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kulia) akimsikiliza Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mhe. Agnes Marwa akimuelezea changamoto mbalimbali za masuala ya uhifadhi na namna ya kuzitatua Bungeni jijini Dodoma leo.
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yapokea Karatasi za Kupigia Kura Uchaguzi
Mkuu 2025
-
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina
(kushoto) akisaini hati za makabidhiano ya Karatasi za Kupigia Kura na
Mkurugenzi Mte...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment