Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kulia) akimsikiliza Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mhe. Agnes Marwa akimuelezea changamoto mbalimbali za masuala ya uhifadhi na namna ya kuzitatua Bungeni jijini Dodoma leo.
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment