Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kulia) akimsikiliza Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mhe. Agnes Marwa akimuelezea changamoto mbalimbali za masuala ya uhifadhi na namna ya kuzitatua Bungeni jijini Dodoma leo.
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR ATEMBELEA BANDA LA GGML MAONESHO YA MADINI GEITA
-
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman leo ametembelea banda la
Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika maones...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment