Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro akimkabidhi Muigizaji wa Filamu Bw. Jacob Steven (JB)Tuzo ya Hollywood and African Prestigious Awards (Hapawards) 2023 kutoka nchini Marekani katika Kipengele Cha Muigizaji Bora wa Filamu "Best Bongo Movie Actor" zilizofanyika hivi karibuni nchini Marekani.
Tukio hilo limefanyika Oktoba 17, 2023 Jijini Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment