Mchezaji wa Timu ya Kipanga akiwapita mebeki wa Timu ya Zimamoto wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League 2023/2024" mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.Timu ya Kipanga imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
Mwanamuziki wa Injili Rehema Simfukwe atoboa siri kuimba wimbo wa Chanzo
-
Na Mwandishi Wetu
MWANAMUZIKI maarufu katika Muziki wa Injili nchini Rehema Simfukwe amevunja
ukimya kwa mara ya kwanza kwa kuamua kutoa sababu za kut...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment