Mchezaji wa Timu ya Kipanga akiwapita mebeki wa Timu ya Zimamoto wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League 2023/2024" mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.Timu ya Kipanga imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
SERIKALI YAWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA KAWE KUREJEA KAZINI HARAKA
-
*Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza leo
Septemba 16, 2025, wakati wa ziara yake ya kukagua athari za moto uliotokea
alfaji...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment