Habari za Punde

Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League 2023/2024" Kipanga na Zimamoto Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung Timu ya Kipanga Imeshinda Mchezo huo kwa Bao.1-0

Mchezaji wa Timu ya Kipanga akiwapita mebeki wa Timu ya Zimamoto wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League 2023/2024" mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.Timu ya Kipanga imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.







 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.