Mchezaji wa Timu ya Zimamoto Mudathir Nassor na Mlandege Mohammed Ali wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League 2023/2024" mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.Timu ya Zimamoto imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
Msajili hazina aongoza mazungumzo ya uwekezaji na kampuni ya Uswisi
-
Abidjan. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, leo, Mei 14, 2025,
ameongoza mazungumzo ya kitaalamu kati ya Serikali ya Tanzania na Bw. Soren
Toft, Af...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment