Mchezaji wa Timu ya Zimamoto Mudathir Nassor na Mlandege Mohammed Ali wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League 2023/2024" mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.Timu ya Zimamoto imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
NYUMBANI KWA BABA LEVO WAMEAMUA KUMHESHIMISHA DK SAMIA…NYOMI LA KUFA MTU
MAPAAAAAAAAAAA
-
Na Said Mwishehe,Mich
NYUMBANI kwa Baba Levo wameamua kwani leo kwani asubuhi hii uelekeo wa
wananchi ni Uwanja wa Katosho uliopo Kigoma Mjini ambako amb...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment