Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akizungumza jambo na
mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema mara baada ya kuwasili
katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda, Lusaka nchini Zambia kwa
ajili ya ziara ya Kitaifa tarehe 23 Oktoba, 2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akikagua Gwaride la
Heshima mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth
Kaunda, Lusaka nchini Zambia kwa ajili ya Ziara ya Kitaifa tarehe 23 Oktoba,
2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akiwa amesimama pamoja na mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakati wa Wimbo wa Taifa wa Tanzania na Zambia ukiimbwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda, Lusaka nchini Zambia tarehe 23 Oktoba, 2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akiwa na mwenyeji wake
Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakati wakifurahia vikundi mbalimbali
vya burudani mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Kenneth Kaunda, Lusaka nchini Zambia kwa ajili ya Ziara ya Kitaifa tarehe 23
Oktoba, 2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akiwapungia mkono moja ya
kikundi cha ngoma za asili cha Zambia wakati
wa mapokezi Rasmi katika uwanja wa Ndege
wa Kimataifa wa Lusaka tarehe 23 Oktoba, 2023.
No comments:
Post a Comment