Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan Azungumza katika Jukwaa la Wafanyabiashara wa Tanzania na India Jijini New Delhi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wafanyabiashara, Wakuu wa Taasisi mbalimbali pamoja na Wawekezaji kutoka India na Tanzania kwenye Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara uliofanyika New Delhi tarehe 10 Oktoba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wafanyabiashara, Wakuu wa Taasisi mbalimbali pamoja na Wawekezaji kutoka India na Tanzania kwenye Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara uliofanyika New Delhi.

Viongozi, Wafanyabiashara pamoja na Wakuu wa Taasisi mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara wa Tanzania na India uliofanyika New Delhi 
Viongozi, Wafanyabiashara pamoja na Wakuu wa Taasisi mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara wa Tanzania na India uliofanyika New Delhi 




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba wakati wa Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara wa Tanzania na India uliofanyika New Delhi.
Viongozi, Wafanyabiashara pamoja na Wakuu wa Taasisi mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara wa Tanzania na India uliofanyika New Delhi 
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.