Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Azungumza Katia Kongamano la Miaka Mitatu ya Uongozi Wake

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa MCL.Bw.Leonard Mususa na Mkurugenzi Mtendaji MCL.Bakari Machumu, alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar Wilaya ya Magharibi “B” Unguja kwa ajili ya ufunguzi wa Kongamano la Miaka Mitatu ya Uongozi wa Dk. Hussein Ali Mwinyi, lililofanyika leo katika ukumbi huo.31-10-2023

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza ana kwa ana wakati wa Kongamano la Miaka Mitatu ya Uongozi wake, lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 31-10-2023 na (kushoto) Mkururugenzi Mtendaji wa MCL.Ndg. Bakari Machumu
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akifuatilia Kongamano la Miaka Mitatu ya Uongozi wa Dk.Hussein Mwinyi,lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar leo 31-10-2023, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza ana kwa ana na Mkurugenzi Mtendaji wa Gazeti la MCL.Ndg. Bakari Machumu, na (kushoto  kwa Makamu ) Waziri wa Ujenzi Mawasiliani na Uchukuzi Zanzibar Mhe.Dk.Khalid Salum Mohammed na (kulia kwake) Mkurugenzi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Gazeti la MCL Ndg.Leonard Mususa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza ana kwa ana wakati wa Kongamano la Miaka Mitatu ya Uongozi wake, lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 31-10-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza ana kwa ana wakati wa Kongamano la Miaka Mitatu ya Uongozi wake, lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 31-10-2023
WASHIRIKI wa Kongamano la kuadhimisha Miaka Mitatu ya Uongozi wa Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakifuatilia maongozi ya ana kwa ana ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkurugenzi Mtendaji wa Gazeti ya Mwananchi Ndg. Bakari Machumu, lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar Wilaya ya Magharibi “B” Unguja lililofanyika leo 31-10-2023
WASHIRIKI wa Kongamano la kuadhimisha Miaka Mitatu ya Uongozi wa Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakifuatilia maongozi ya ana kwa ana ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkurugenzi Mtendaji wa Gazeti ya Mwananchi Ndg. Bakari Machumu, lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar Wilaya ya Magharibi “B” Unguja lililofanyika leo 31-10-2023
WASHIRIKI wa Kongamano la kuadhimisha Miaka Mitatu ya Uongozi wa Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakifuatilia maongozi ya ana kwa ana ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkurugenzi Mtendaji wa Gazeti ya Mwananchi Ndg. Bakari Machumu, lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar Wilaya ya Magharibi “B” Unguja lililofanyika leo 31-10-2023
WASHIRIKI wa Kongamano la kuadhimisha Miaka Mitatu ya Uongozi wa Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakifuatilia maongozi ya ana kwa ana ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkurugenzi Mtendaji wa Gazeti ya Mwananchi Ndg. Bakari Machumu, lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar Wilaya ya Magharibi “B” Unguja lililofanyika leo 31-10-2023
WASHIRIKI wa Kongamano la kuadhimisha Miaka Mitatu ya Uongozi wa Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakifuatilia maongozi ya ana kwa ana ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkurugenzi Mtendaji wa Gazeti ya Mwananchi Ndg. Bakari Machumu, lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar Wilaya ya Magharibi “B” Unguja lililofanyika leo 31-10-2023.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.