Naibu Waziri Ofisi ya
Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akipata maelezo
kutoka kwa mkulima na mfugaji Bw. Donald Sanga kuhusu jiko nishati ya biogesi na
uzalishaji wake alipofanya ziara ya kukagua Mradi wa Kuhifadhi
Ardhi katika Bonde la Ziwa Nyasa katika Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya unaotekelezwa na Ofisi ya
Makamu wa Rais na kufadhiliwa na Mfuko wa Mazingira wa Dunia (GEF).
Naibu Waziri Ofisi ya
Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akipata maelezo
kutoka kwa mkulima na mfugaji Bw. Donald Sanga kuhusu jiko nishati ya biogesi na
uzalishaji wake alipofanya ziara ya kukagua Mradi wa Kuhifadhi
Ardhi katika Bonde la Ziwa Nyasa katika Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya unaotekelezwa na Ofisi ya
Makamu wa Rais na kufadhiliwa na Mfuko wa Mazingira wa Dunia (GEF).
Naibu Waziri Ofisi ya
Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akizungumza
wakati wa ziara ya kukagua Mradi wa Kuhifadhi Ardhi
katika Bonde la Ziwa Nyasa katika
Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya unaotekelezwa na Ofisi ya
Makamu wa Rais na kufadhiliwa na Mfuko wa Mazingira wa Dunia (GEF).
Naibu Waziri Ofisi ya
Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akisikiliza
maelezo kutoka kwa Afisa Uvuvi Frank Mushi kuhusu mashine ya kuzalishia
vifaranga vya samaki alipofanya ziara ya kukagua Mradi wa Kuhifadhi Ardhi katika Bonde la Ziwa Nyasa katika Wilaya ya Kyela
mkoani Mbeya unaotekelezwa na Ofisi ya Makamu wa Rais na kufadhiliwa na Mfuko
wa Mazingira wa Dunia (GEF)
Naibu Waziri Ofisi ya
Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akikagua bwawa
la kufugia samaki katika alipofanya ziara ya kukagua Mradi wa Kuhifadhi Ardhi katika Bonde la Ziwa Nyasa katika Wilaya ya Kyela
mkoani Mbeya unaotekelezwa na Ofisi ya Makamu wa Rais na kufadhiliwa na Mfuko
wa Mazingira wa Dunia (GEF)
Naibu Waziri Ofisi ya
Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akikagua kitalu
cha miche ya bora ya michikichi aina ya tenera alipofanya ziara ya kukagua
Mradi wa Kuhifadhi Ardhi katika Bonde la Ziwa Nyasa katika
Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya unaotekelezwa na Ofisi ya Makamu wa Rais na
kufadhiliwa na Mfuko wa Mazingira wa Dunia (GEF).
(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)
No comments:
Post a Comment