Mshambuliaji wa Timu ya Azam akijiandaa kumpita beki wa Timu ya Chipukizi wakati wamchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 , mchezo uliofanyika jana usiku katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar. Timu ya Azam imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
MUFTI MKUU TANZANIA KUJA NA ZIARA YA KUIMARISHA UONGOZI MKOA WA DODOMA
-
Mufti Mkuu Sheikh Abubakar Zubeir amesema Baraza limepanga kufanya ziara
rasmi mkoani Dodoma, ikiwa ni sehemu ya mpango wa kutembelea mikoa yote 26
nc...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment