Mshambuliaji wa Timu ya Azam akijiandaa kumpita beki wa Timu ya Chipukizi wakati wamchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 , mchezo uliofanyika jana usiku katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar. Timu ya Azam imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
7 hours ago






No comments:
Post a Comment