Mshambuliaji wa Timu ya Azam akijiandaa kumpita beki wa Timu ya Chipukizi wakati wamchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 , mchezo uliofanyika jana usiku katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar. Timu ya Azam imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
MFUMO WA UFUATILIAJI NA TATHMINI NI NYENZO YA UTENDAJI KAZI FANISI
SERIKALINI- DKT. BITEKO
-
Mwanza.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko, amehitimisha
Kongamano la Nne la Kitaifa la Ufuatiliaji, Tathmini na Kujifunza
lililofa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment