RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Naibu Mkurugenzi
Mkuu wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania Bw.Martin Seychell (kulia kwa Rais)
akiwa na ujumbe wake, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Naibu
Mkurugenzi Mkuu wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania.Bw. Martin Seychell,
mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Naibu Mkurugenzi
Mkuu wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania Bw. Martin Seychell, baada ya kumaliza
mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo
7-12-2023.
No comments:
Post a Comment