Meneja wa NIC Insurance Kanda ya Zanzibar Khamis Msami akimkabidhi zawadi ya fedha taslim golokipa wa Timu ya Chipikizi United Suleiman Khamis kwa kuibuka mchezaji bora katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Timu ya Mlandege, katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya 0-0 Katika mchezo huo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar leo 4-1-2024.
MFUMO WA UFUATILIAJI NA TATHMINI NI NYENZO YA UTENDAJI KAZI FANISI
SERIKALINI- DKT. BITEKO
-
Mwanza.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko, amehitimisha
Kongamano la Nne la Kitaifa la Ufuatiliaji, Tathmini na Kujifunza
lililofa...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment