Meneja wa NIC Insurance Kanda ya Zanzibar Khamis Msami akimkabidhi zawadi ya fedha taslim golokipa wa Timu ya Chipikizi United Suleiman Khamis kwa kuibuka mchezaji bora katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Timu ya Mlandege, katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya 0-0 Katika mchezo huo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar leo 4-1-2024.
KAPINGA: TAASISI ZIFANYE TAFITI BUNIFU ILI KUONGEZA AJIRA KWA VIJANA
-
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga (Mb), amezisisitiza
taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kufanya tafiti zenye tija ili kuongeza
ajira kwa ...
4 hours ago



No comments:
Post a Comment