Meneja wa NIC Insurance Kanda ya Zanzibar Khamis Msami akimkabidhi zawadi ya fedha taslim golokipa wa Timu ya Chipikizi United Suleiman Khamis kwa kuibuka mchezaji bora katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Timu ya Mlandege, katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya 0-0 Katika mchezo huo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar leo 4-1-2024.
MUFTI MKUU TANZANIA KUJA NA ZIARA YA KUIMARISHA UONGOZI MKOA WA DODOMA
-
Mufti Mkuu Sheikh Abubakar Zubeir amesema Baraza limepanga kufanya ziara
rasmi mkoani Dodoma, ikiwa ni sehemu ya mpango wa kutembelea mikoa yote 26
nc...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment