Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongoza kikao cha ndani kuhusu Mradi wa Liganga na Mchuchuma kilichofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma leo , Juni 10, 2024. Kikao hicho kilihudhuriwa na Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Doto Biteko, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Waziri wa Madini, Waziri wa Viwanda na Biashara, Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Waziri wa Fedha, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, baadhi ya Makatibu Wakuu na watalaamu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MANISPAA YA UBUNGO YATENGA MILIONI 28 KWA AJILI UTEKELEZAJI WA PJT-MMMAM
-
NA MWANDISHI WETU
MANISPAA ya Ubungo imetengea bajeti ya fedha zaidi ya Sh milioni 28,000,000
kwa ajili ya utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Malezi, Maku...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment