Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongoza kikao cha ndani kuhusu Mradi wa Liganga na Mchuchuma kilichofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma leo , Juni 10, 2024. Kikao hicho kilihudhuriwa na Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Doto Biteko, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Waziri wa Madini, Waziri wa Viwanda na Biashara, Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Waziri wa Fedha, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, baadhi ya Makatibu Wakuu na watalaamu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Maonyesho ya ISUZU Yahitimishwa kwa mafanikio Dodoma, Wabunge, Wadau wa
Usafirishaji watia neno.
-
Maonyesho ya siku tatu yaliyoandaliwa na kampuni ya Al Mansour Auto EA
Tanzania, kuangazia teknolojia za kisasa za usafiri na muktadha mzuri wa
magari ya...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment