Habari za Punde

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia Wananchi wa Mlowo, Mbozi Mkoani Songwe

Baadhi ya Wananchi wa Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe wakiwa kwenye shamrashamra za mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 18 Julai, 2024. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe wakati akiwa njiani kuelekea Mkoani Dodoma tarehe 18 Julai, 2024.

Baadhi ya Wananchi wa Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe wakiwa kwenye shamrashamra za mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 18 Julai, 2024. 




 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.